![]() |
TUZO iliyotolewa na TAMISEMI kwa ajili ya shule yetu kwa kufanya vizuri katika mtihani wa darasa la Saba 2013, kuwa shule kumi bora katika mkoa wa Arusha. |
![]() |
Wanafunzi wa darasa la Saba 2014 Wakishangilia kwa furaha kwa kupata TUZO ya shule bora katika mkoa wa Arusha. |