Tumefungua shule tarehe 5:5:2014 siku ya jumatatu, hivyo mzazi au mlezi unaombwa kumleta mwanao katika shule yetu ili apate ELIMU BORA kwa manufaa yake na ya familia yake.
Kwa wale ambao hawajalipa ADA hakikisha mwano amelipiwa ada bank alafu aje na PAY SLIP hapa shuleni na aandikiwe GATE PASS yake .
Kwa wale ambao hawajalipa ADA hakikisha mwano amelipiwa ada bank alafu aje na PAY SLIP hapa shuleni na aandikiwe GATE PASS yake .